Breaking News

 Miraji Mwaliko

Gye Studios: Dar es Salaam

Image caption: Mkurugenzi mtendaji wa Tamwa Dkt. Rose Reuben

Chama cha waandishi wa habari wanawake nchini Tanzania Tamwa kimeelezea kusikitishwa na udhalilishaji uliodaiwa kufanywa na baadhi ya askari polisi katika wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

Tamko hili linakuja baada ya mkuu wa wilaya hiyo Siriel Mchembe kuibua ukatili unaofanywa na baadhi ya askari polisi wanaodaiwa kuwashika sehemu za siri wasichana na kuwabaka kuwapiga na kuwalazimisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi.

Mkurugenzi mtendaji wa Tamwa Dkt. Rose Reuben amesema hakuna aliye juu ya sheria na ndiyo maana askari wana dhamana ya kusimamia sheria hizi lakini cha ajabu baadhi wamekuwa wa kwanza kuzivunja.

Post a Comment

أحدث أقدم
Contact ME
close